RAIS SAMIA AJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA DODOMA - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Friday 11 October 2024

RAIS SAMIA AJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA DODOMA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki zoezi la Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 11 Oktoba,2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akijiandikisha kwenye Daftari la Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 11 Oktoba,2024

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso