MWANAMKE NDIYE MLEZI WA MAADILI KATIKA JAMII – AFISA UTAMADUNI KAHAMA NKUMBI 23:41 0 Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Kahama, Martha Kapela akizungumza na wanawake juu ya majukumu ya wanawake katika malezi, elimu ya maadili, n... Read more »
VIJANA WAZIDI KUKWEA KATIKA DIPLOMASIA YA TANZANIA, DIANA CHANDO KUONGOZA AGENDA YA AMANI NKUMBI 11:03 0 Uteuzi wa vijana wa Kitanzania katika nafasi za juu za kimataifa umezidi kushika kasi baada ya Diana Chando kuteuliwa kuwa Mkuu wa Utawala, ... Read more »
TANZANIA YAINGIA KWENYE RAMANI YA DUNIA: MAGARI YA UMEME NA MAPINDUZI YA VIWANDA NKUMBI 10:56 0 Tanzania imepiga hatua nyingine kubwa katika nyanja ya ubunifu na uwekezaji kufuatia tangazo la kampuni ya DOW ELEF AUTO EV (ZERA) Limited k... Read more »
SERIKALI YAHIMIZA USIKILIZWAJI WA KERO KAMA MSINGI WA MAENDELEO ENDELEVU NKUMBI 10:53 0 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuwa karibu na wananchi kwa kuhakikisha kuwa kero zote zinazowakabi... Read more »
MAPINDUZI YA UJUZI: VIJANA WAIPONGEZA SERIKALI, WAOMBA MITAJI KUKAMILISHA NDOTO ZA KUJIAJIRI NKUMBI 10:49 0 Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi (National Skills Development Programme) inayotekelezwa na Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Mah... Read more »
UMEME WA GRIDI KIGOMA UMEOKOA BILIONI 58 ZA MAFUTA NA MATENGENEZO –MHE. SALOME NKUMBI 18:23 0 Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kusimamia na kukamilisha mradi wa kupele... Read more »
MHE. DEUS SANGU ASHIRIKI SHUGHULI ZA UVUVI KIRUMBA KATIKA MUENDELEZO WA UTOAJI ELIMU YA SKIMU YA HIFADHI NKUMBI 17:55 0 *Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Aeleza Mafao na Faida za Skimu ya Hifadhi Na MWANDISHI WETU, Mwanza. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, A... Read more »
SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UTAJIRI KWA VIJANA: VIFARANGA MILIONI 10 KUZALISHWA KILA MWEZI NKUMBI 11:52 0 KATIKA mkakati kabambe wa kutatua changamoto ya ajira na kukuza uchumi wa buluu, Serikali imetangaza mpango mkakati wa kuongeza uzalishaji w... Read more »
AFCON 2027: ULINZI NI CHUMA, AMANI YETU NDIO FURSA KWA VIJANA! NKUMBI 11:31 0 WAKATI hamu ya michuano ya AFCON 2027 ikizidi kupanda, Serikali imetuma ujumbe mzito: "Tanzania ni salama na ulinzi ni chuma!" Read more »
UTULIVU WA MKUNA NAZI WA ZANZIBAR SOMO KWA VIJANA NKUMBI 11:28 0 KATIKA viunga vya Soko la Kibanda Maiti, kishindo cha mashine inayozunguka kwa kasi sasa kimekuwa wimbo wa matumaini kwa Ramtula Makame. Read more »
ACHENI HEKAHEKA ZA MTANDAONI ZENYE NIA OVU, CHANGAMKIENI FURSA NKUMBI 11:25 0 WAKATI baadhi ya vijana wakipoteza muda mwingi mitandaoni kukuza chuki, kulalamika na kushusha hadhi ya nafsi zao, Serikali imewapigia kipye... Read more »
RIDHIWANI KIKWETE: TUMIENI MFUNGO KULIOMBEA TAIFA AMANI NKUMBI 11:23 0 WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amewataka wadau wa sekta ya bima na Watan... Read more »