BARAZA LA WAFANYAKAZI FCC LATUMIKA KAMA DARASA LA KUIMARISHA UTENDAJI NKUMBI 17:38 0 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Bi. Khadija Ngasongwa amewataka watumishi wa FCC kufanya kazi kwa ushirikiano, bidii, upe... Read more »
SERIKALI YAKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA MADOLA NKUMBI 17:31 0 Na Mwandishi wetu Ujumbe wa Serikali ya Tanzania ukiongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, ... Read more »
WANANCHI WATAKIWA KULINDA AMANI, WATAJA ATHARI ZA KUTOKUWA NA AMANI NKUMBI 16:41 0 Mkazi wa Kata ya Mongolo amewataka Watanzania kuendelea kulinda na kuthamini amani ya nchi, akieleza kuwa licha ya hali ya utulivu uliopo sa... Read more »
AJALI YA LORI LA MAFUTA, KAHAMA, ZIMAMOTO WAFANIKIWA KUDHIBITI MLIPUKO WA MOTO, ELIMU YATOLEWA NKUMBI 21:16 0 Ajali iliyohusisha lori la mafuta na lori lililobeba saruji katika kijiji cha Isaka, kata ya Isaka wilayani Kahama mkoani Shinyanga, na kusa... Read more »
CHAKWERA AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI, MHE. BALOZI MAHMOUD THABIT KOMBO NKUMBI 18:45 0 Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi, akiambatana na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Ayorkor Botc... Read more »
CHAKWERA AWASILI TANZANIA KWA ZIARA YA KIKAZI, APOKELEWA RASMI UWANJA WA NDEGE JNIA NKUMBI 10:30 0 Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Jamhuri ya Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Ayorkor Botchw... Read more »
UFAFANUZI WA KAULI YA RAIS SAMIA KUHUSU ONGEZEKO LA BEI ZA MAFUTA NA ATHARI ZAKE DUNIANI NKUMBI 22:08 0 Ufafanuzi. Leo tarehe 08 Aprili, 2026, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati akiwaapisha vion... Read more »
RAIS SAMIA, DK. MWINYI WAONGOZA MAELFU KUMUENZI ABEID AMANI KARUME NKUMBI 14:12 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewaongoza Watanzania kumuenzi muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar, Hayati ... Read more »
MSIMAMO: MARIDHIANO NDIO UKUTA PEKEE WA KUZUIA TANZANIA ISIINGIE KWENYE MAJANGA NKUMBI 14:05 0 Tanzania imetakiwa kutumia mbinu ya maridhiano na mazungumzo kama kinga ya pekee dhidi ya viashiria vya migogoro ya kisiasa, ili kuepuka kui... Read more »
MASAUNI AHIMIZA VIJANA NA WANAFUNZI KULINDA TUNU YA MUUNGANO NKUMBI 22:45 0 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Masauni, ametoa wito mzito kwa vijana na wanafunzi wa taasisi za elim... Read more »
SERIKALI NA WADAU WA HABARI WAHIMIZA UWAJIBIKAJI WA KIDIJITI KUDHIBITI TAHARUKI NKUMBI 22:24 0 Katika kipindi hiki cha mabadiliko makubwa ya teknolojia ya kidijiti taarifa zimekuwa zikitumika kama silaha ya kueneza propaganda hasi na k... Read more »
MAALIM SEIF: SHUJAA WA MARIDHIANO NA MHIMILI WA MSHIKAMANO NKUMBI 21:57 0 Serikali ya Zanzibar imetoa heshima za pekee kwa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, ikimtambua kama kiungo muhimu... Read more »