MWENGE WA UHURU WATAKA WANANCHI KUIMARISHA MSINGI WA AMANI NKUMBI 23:48 0 Wananchi wa Wilaya ya Monduli mkoani Arusha wamehimizwa kusimama kidete kulinda na kudumisha amani pamoja na mshikamano wa kitaifa kwani n... Read more »
SABASABA YADHIHIRISHA WANANCHI WANAJUA MSINGI WA AMANI NCHINI NKUMBI 23:42 0 Kauli maarufu ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliyoitoa Desemba 9, 1961 kuhusu kuwasha Mwenge wa Uhuru juu ya Mlima Kilimanjaro il... Read more »
JENERALI MKUNDA AWAAGA MAAFISA JENERALI 17 WASTAAFU WA JWTZ, AWAASA KUJIEPUSHA NA SIASA NKUMBI 23:39 0 Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini (CDF), Jenerali Jacob Mkunda, amewaasa Maafisa Jenerali 17 waliostaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tan... Read more »
RAIS SAMIA APONGEZA MARIDHIANO BAINA YA CCM NA ACT-WAZALENDO ZANZIBAR NKUMBI 23:35 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekipongeza Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha ACT-Wazalendo Zanzi... Read more »
TANZANIA YAANZA SAFARI YA UCHUMI WA DOLA TRILIONI 1 IFIKAPO 2050 NKUMBI 22:01 0 New York, Marekani Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza hatua zake za kuanza kutekeleza Mpango wa Nne wa Taifa wa Maendele... Read more »
MARIDHIANO YA CCM NA ACT: Rais Samia aonya wanaotaka kuleta vurugu, Usalama wa nchi hauna mjadala NKUMBI 20:40 0 Na Mwandishi Wetu ,BSKY Media Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameonya makundi yanayojificha nyuma ... Read more »
TAMASHA LA SANJO YA BUSIYA LASISITIZA AMANI NKUMBI 20:36 0 Chifu Faustine Makwaia wa tatu (aliyevaa kofia ya Kitemi) akiongoza Tamasha la Sanjo ya Busiya wilayani Kishapu. Read more »
SERIKALI YAPONGEZA WATANZANIA KUPUUZA WITO WA KUVURUGA AMANI NKUMBI 20:30 0 Serikali imewapongeza wananchi wa Tanzania kwa kuamua kupuuza na kukataa wito uliokuwa umetangazwa wa kutaka kuvuruga amani ya nchi hivi k... Read more »
WATUHUMIWA 130 WAKAMATWA WAKIPANGA KUCHOMA SHULE NA KUUA VIONGOZI NCHINI NKUMBI 20:27 0 Jeshi la Polisi nchini limetangaza kuwatia mbaroni jumla ya watuhumiwa 130 katika mikoa mbalimbali kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha vite... Read more »
Serikali Yaahidi Kuimarisha Mapambano Dhidi ya UKIMWI Licha ya Kupungua kwa Misaada ya Wahisani NKUMBI 20:21 0 Na Mwandishi Wetu , Dar es Salaam Serikali imehakikisha kuwa mapambano dhidi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) yataendelea kupewa kipaumbele, huk... Read more »
MSIGWA AWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUENDELEZA UANDISHI WENYE KUJENGA NKUMBI 22:43 0 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Gerson Msigwa, amewataka Waandishi wa Habari n... Read more »
RC MHITA AOMBA UKAGUZI MAALUMU MSALALA BAADA YA HATI YENYE MASHAKA NKUMBI 20:39 0 Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita akizungumza katika Baraza Maalumu la Madiwani la Halmash8auri ya Msalala la kujadili hoja za CAG za ... Read more »