WATU WENYE ULEMAVU KAHAMA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA HUDUMA ZA JAMII NKUMBI 16:12 0 Watu wenye ulemavu Wilaya ya Kahama wameiomba Serikali kuboresha mazingira na miundombinu katika taasisi mbalimbali za kijamii ili waweze ku... Read more »
WATANZANIA WAPAGAWISHA KATIKA TUZO ZA KIMATAIFA SADC NKUMBI 15:46 0 Tanzania imeendelea kung’ara katika anga za kimataifa baada ya kampuni ya kizalendo ya Caps Limited kutwaa tuzo mbili za heshima katika Shin... Read more »
DIRA YA MARIDHIANO: RIPOTI YA JAJI CHANDE KUIVUSHA TANZANIA KWENYE UCHUMI NA AMANI YA KUDUMU NKUMBI 15:42 0 Matumaini ya kupatikana kwa suluhu ya kudumu ya changamoto za kisiasa na kiuchumi nchini Tanzania sasa yameelekezwa kwenye mapendekezo ya Tu... Read more »
TEKNOLOJIA KUTOKA URUSI KUNUFAISHA VIJANA, KUKUZA DIPLOMASIA YA UCHUMI NKUMBI 15:34 0 Tanzania na Urusi zimeingia katika ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiteknolojia unaolenga kuwainua vijana na kuchochea maendeleo ya kiuchumi... Read more »
CHAUMMA YAGUSIA VURUGU ZA UCHAGUZI 2025, YASUBIRI RIPOTI YA JAJI CHANDE NKUMBI 15:26 0 Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimetoa msimamo wake kuhusu matukio ya vurugu yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29... Read more »
TANZANIA NA ATIDI KUPUNGUZA VIHATARISHI VYA UWEKEZAJI NKUMBI 15:24 0 Serikali ya Tanzania imedhamiria kuimarisha ushirikiano wake na Shirika la Bima ya Maendeleo ya Biashara na Uwekezaji Afrika (ATIDI) ili kub... Read more »
UZALENDO KWANZA: DK. MWIGULU ATATUA MZIZI WA FITINA, AIAGIZA TBC KUTEKA MITANDAO NKUMBI 11:51 0 Katika kile kinachoonekana kuwa ni mkakati mzito wa kurejesha tunu za utaifa na kulinda mafanikio ya serikali, Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchem... Read more »
DIT NA DIRA YA 2050: MAPINDUZI YA TEKNOLOJIA YAFUNGUA MILANGO YA DUNIA KWA VIJANA WA TANZANIA NKUMBI 11:48 0 Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) imepiga hatua kubwa ya kimkakati inayolenga kuiondoa Tanzania katika utegemezi wa teknolojia kutok... Read more »
TANZANIA NI JIBU: BANDARI YA DAR ES SALAAM YAZIBA MIDOMO WABABAISHAJI NA WAZUSHI NKUMBI 11:45 0 Wakati mataifa jirani yakipata pumzi ya kiuchumi kupitia lango kuu la Afrika Mashariki na Kati, Bandari ya Dar es Salaam, kelele za wababais... Read more »
WILLIAM LUKUVI: MWALIMU WA SIASA NA NGUZO MUHIMU YA UONGOZI NKUMBI 11:43 0 William Vangimembe Lukuvi. Viongozi mbalimbali nchini wameungana na Rais Samia Suluhu Hassan kumlilia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (... Read more »
MAGEUZI YA KIUCHUMI: SERIKALI YAMWAGIA FEDHA NA FURSA WANAWAKE ILI KUKUZA TAIFA NKUMBI 11:40 0 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imedhihirisha kwa vitendo kuwa ukombozi wa mwanamke kiuchumi si jambo la hiari, bali ni nguzo ma... Read more »