MAMA SAMIA AFIKISHA TEKNOLOJIA VIJIJINI KUWEZESHA TEHAMA NKUMBI 18:06 0 Serikali imedhamiria kuimarisha ufikishaji wa taarifa vijijini kwa kutumia fursa za mawasiliano ya kidijitali, hatua inayolenga kuhama kutok... Read more »
UTULIVU UNAVYOSAFISHA NJIA YA MAFANIKIO KWA VIJANA NKUMBI 18:03 0 Katika kuelekea kuimarisha misingi ya taifa letu, sauti za wananchi kutoka maeneo mbalimbali nchini zimeendelea kusisitiza umuhimu wa kulind... Read more »
PINDA AZUNGUMZIA MAHUSIANO KATIKA KUJENGA NCHI NKUMBI 18:00 0 Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda, amesema mahusiano ni mchakato unaojengwa kwa misingi ya mazungumzo na uelewano, akisisitiza umuhimu... Read more »
KUTOKA CHUMBANI MPAKA ANGA ZA JUU: DHAMANA YA BILIONI 600 MEZANI, VIJANA AMKENI NKUMBI 17:57 0 Sasa hivi siyo enzi ya kulalamika mtaani, ni enzi ya kuchamkia fursa na kuthubutu kupenya popote pale penye mchongo wa hela. Serikali imekun... Read more »
MAPENZI KIGANJANI, TAIFA MOYONI: VALENTINE YA KISHABIKI KWA KIJANA JASIRI WA KITANZANIA NKUMBI 17:54 0 Siku ya Valentine isichukuliwe kama ni siku ya maua mekundu na chokoleti pekee, bali iwe ni wakati wa kijana wa Kitanzania kutafakari upendo... Read more »
UMOJA NA AMANI: NGUZO KUU YA MAGEUZI YA KIUCHUMI NKUMBI 22:19 0 Mafanikio makubwa ya kiuchumi yanayoshuhudiwa nchini kwa sasa, ikiwemo kuongezeka kwa meli za kitalii mkoani Lindi na kutanuka kwa fursa za ... Read more »
VIJANA PLATFORM’ SINGIDA YAZINDULIWA: VIJANA WATAKIWA KUTHUBUTU NKUMBI 22:17 0 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka, amewataka vijana nchini kuacha tabia ya kukata tamaa na badala yake wa... Read more »
TAFORI YAFUNGUA MILANGO YA AJIRA KWA VIJANA KUPITIA MITI YA ASILI NKUMBI 22:14 0 Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) imekuja na mkakati mpya wa kufanya utafiti wa miti ya asili yenye thamani kubwa, hatua inayot... Read more »
TANZANIA YAINGIA 'TIER 1' DUNIANI: KELELE ZA WANAODHARAU ZAZIMWA NA RIPOTI YA ITU NKUMBI 22:12 0 TANZANIA imepiga hatua kubwa ya kihistoria baada ya kutajwa kuwa miongoni mwa nchi 45 za mfano bora duniani (Tier 1) katika usimamizi wa mas... Read more »
UTALII WA MELI WAWAHAKIKISHIA VIJANA WA KILWA UFUNGUO WA AJIRA NKUMBI 22:08 0 Mambo yanazidi kunoga katika sekta ya utalii nchini Tanzania baada ya Bandari ya Kilwa, mkoani Lindi, kuipokea meli ya kitalii ya Le Bellot ... Read more »
NEEMA YA KIDIJITALI: SERIKALI YASHUSHA ADA KWA WANABLOGU, TCRA YAZINDUA REDIO YA KISASA 'DSB' NKUMBI 20:42 0 Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana FA, akizungumza wakati akifungua Mku... Read more »
SERIKALI YAPUNGUZA ADA ZA WATOA MAUDHUI MTANDAONI, YAAGIZA ULINZI WA MASLAHI YA WANAHABARI NKUMBI 16:10 0 Na Neema Nkumbi, Dodoma Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana FA, ametangaza kupunguzwa kwa... Read more »
MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO ANGA ZA JUU KAZI NJE NJE KWA VIJANA WABUNIFU NKUMBI 11:16 0 Serikali ya Awamu ya Sita imefungua ukurasa mpya wa matumaini kwa vijana wabunifu na wataalamu wa teknolojia nchini, kufuatia tangazo la Wiz... Read more »
AMANI NI PUMZI: SHUHUDA ZA WAKAZI WA BARIADI KWAMBA AMANI NDIYO MSINGI MKUU WA UHURU WA NAFSI NKUMBI 11:02 0 KATIKA mitaa ya mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, neno Amani si neno la kisiasa tu, bali ni pumzi inayowawezesha wananchi kuamka na kutimiza wa... Read more »