RAIS SAMIA AWASILI MOSCOW KWA ZIARA YA KIHISTORIA YA KUIMARISHA UWEKEZAJI NA USHIRIKIANO WA TANZANIA NA URUSI
Na Beda Msimbe, TBN, Moscow Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimata...