NEEMA YA KIDIJITALI: SERIKALI YASHUSHA ADA KWA WANABLOGU, TCRA YAZINDUA REDIO YA KISASA 'DSB' NKUMBI 20:42 0 Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana FA, akizungumza wakati akifungua Mku... Read more »
SERIKALI YAPUNGUZA ADA ZA WATOA MAUDHUI MTANDAONI, YAAGIZA ULINZI WA MASLAHI YA WANAHABARI NKUMBI 16:10 0 Na Neema Nkumbi, Dodoma Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana FA, ametangaza kupunguzwa kwa... Read more »
MPANGO MKAKATI WA MIAKA MITANO ANGA ZA JUU KAZI NJE NJE KWA VIJANA WABUNIFU NKUMBI 11:16 0 Serikali ya Awamu ya Sita imefungua ukurasa mpya wa matumaini kwa vijana wabunifu na wataalamu wa teknolojia nchini, kufuatia tangazo la Wiz... Read more »
AMANI NI PUMZI: SHUHUDA ZA WAKAZI WA BARIADI KWAMBA AMANI NDIYO MSINGI MKUU WA UHURU WA NAFSI NKUMBI 11:02 0 KATIKA mitaa ya mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, neno Amani si neno la kisiasa tu, bali ni pumzi inayowawezesha wananchi kuamka na kutimiza wa... Read more »
MCHANGA UNAOHAMA, DAWA YA PENZI LILILOLEGALEGA. NKUMBI 10:46 0 Katika msimu huu wa sikukuu ya wapendanao (Valentine Day) hauna haja ya kwenda porini kuhangaika kutafuta mchawi wa kukusaidia kustawisha pe... Read more »
KIJANA HUPASHWI 'KUCHUKULIA POA' MIKAKATI YA MAENDELEO NKUMBI 10:05 0 Kijana hupashwi ‘Kuchukulia Poa’ mikakati ya maendeleo Read more »
HATUENDI MDOGO MDOGO KATIKA UTALII, TUNAKIMBIZA:Miradi ya Sh bilioni 114 Sekta ya Utalii yazinduliwa NKUMBI 09:43 0 SERIKALI ya Awamu ya Sita imezidi kupigilia msumari wa moto katika ukuzaji wa uchumi wa nchi baada ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, k... Read more »
SERIKALI YAIFUNGUA SENGEREMA, MGODI WA TRILIONI 1.2 KUANZA KAZI NKUMBI 00:05 0 SERIKALI imesema itaendelea kuimarisha mazingira wezeshi ya biashara na uwekezaji nchini ili kuchochea ukuaji wa uchumi, huku ikitangaza hat... Read more »
KUTOKA KEJERI ZA MITANDAONI HADI UBUNIFU WA KIVIWANDA NKUMBI 00:05 0 KATIKA hali inayolenga kuleta mapinduzi ya kifikra miongoni mwa vijana nchini, Serikali imewataka wasomi na wabunifu kuacha kutumia nguvu na... Read more »
SERIKALI, SEKTA BINAFSI ZAUNGANISHA NGUVU KUTULIZA KIU YA AJIRA NKUMBI 00:04 0 KATIKA hali inayolenga kupunguza changamoto ya ajira kwa vijana nchini, Serikali imetoa wito kwa sekta binafsi kuendelea kushirikiana nayo k... Read more »
RC MAKAME: HAKUNA AWAMU ILIYOBEBA VIJANA KAMA YA RAIS SAMIA NKUMBI 00:02 0 MKUU wa Mkoa wa Songwe, Jabiri Makame amewataka vijana mkoani humo na Tanzania kwa ujumla kutambua kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongoz... Read more »