Post Top Ad
Monday, 9 March 2026
UKOMAVU WA SIASA: WANAWAKE WA CUF WAUNGANA NA RAIS SAMIA KATIKA MAENDELEO
Katika kile kinachoonekana ni taswira mpya ya ukomavu wa kisiasa nchini, wanawake wa Chama cha Wananchi (CUF) wamempongeza Rais wa Jamhuri y...
BBT-UVUVI: MAPINDUZI YA AJIRA NA FAHARI YA UCHUMI WA BLUU KWA VIJANA
Manung’uniko ya ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana sasa yanapata jibu madhubuti kupitia uwekezaji mkubwa wa serikali katika sekta ya uvuvi...
MKAKATI WA KUREJESHA HADHI YA KIMATAIFA KARIAKOO: BARABARA KUWA WAZI NI LAZIMA
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameweka wazi kuwa operesheni za kukagua eneo la Kariakoo usiku na mchana ni mkakati endelevu wa kuh...
UKATILI WAELEZWA KUWA KIKWAZO KWA MAENDELEO YA UCHUMI
Ukatili wa kijinsia umeendelea kuwa kikwazo kikubwa cha maendeleo nchini kwani unadumaza nguvu kazi na kurudisha nyuma juhudi za kujenga tai...
UKOSEFU WA NIDHAMU YA KISHERIA NA DHAMANA YA AMANI WAPONZA BAWACHA MKOANI MARA
Jeshi la Polisi Mkoani Mara limechukua hatua ya kuwashikilia watu 27, akiwemo Katibu Mkuu wa BAWACHA Taifa, Pamela Maassay, kwa tuhuma za ku...
TANZANIA YAZIDI KUNG'ARA KIMATAIFA: KUTEULIWA KITUO CHA MAFUNZO YA MAZINGIRA NI JIBU KWA WACHOCHEZI
Hatua ya Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali ya Umoja wa Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi kuiteua Tanzania kuwa mwenyeji wa kituo cha m...
Sunday, 8 March 2026
WANAWAKE TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI WASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KONGWA
Wanawake kutoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Leo tarehe 08 Machi, 2026 wameshiriki katika maadhimisho ya siku wanawake duniani ambayo kim...
SHUWASA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI, YAWAHAKIKISHIA WANANCHI HUDUMA BORA YA MAJI
Neema Nkumbi, Ushetu Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Shinyanga (SHUWASA) imeshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Wanawa...
RC MBONI MHITA AHIMIZA WANAWAKE KUJITAMBUA, SHUWASA YAWAHAKIKISHIA WANANCHI UPATIKANAJI WA MAJI
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita a kizungumza leo machi 8, 2026 wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika ...
KUTOKA KANISANI HADI SHAMBANI; SIMULIZI YA SISTA ALIYENOLEWA NA PROGRAMU YA TAIFA YA KUKUZA UJUZI
Na Mwandishi Wetu, Laela Rukwa Katika kuta za utulivu za Chuo cha Kilimo na Mifugo cha Kanisa Katoliki kilichopo Laela, mkoani Rukwa, sauti ...
EAC 2026: MAPINDUZI YA BIASHARA NA ALFAJIRI MPYA YA UONGOZI WA TANZANIA
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imetikisa ulimwengu wa kiuchumi baada ya kurekodi ukuaji wa kihistoria wa biashara ndani ya ukanda huo, hu...
UWEKEZAJI WA DIASPORA: DARAJA LA UTAJIRI NA USALAMA WA FEDHA
Ushauri uliotolewa na Emelian Busara unalenga kubadili mtazamo wa Watanzania waishio nje kutoka kwenye kutuma fedha za matumizi ya kawaida k...
SERIKALI YA MATENDO NA UTATUZI WA KERO ZA MUDA MREFU
Hatua ya Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, kumpigia simu Mkuu wa Majeshi (CDF) akiwa mbele ya wananchi wa Monduli ni kielelezo cha juu cha s...
TANZANIA IPO IMARA, VIJANA CHANGAMKIENI FURSA
Katika kipindi hiki ambacho mivutano ya kijiopolitika nchini Mashariki ya Kati (hususan kati ya Iran na Israel) inatikisa soko la dunia, ni ...
Post Top Ad
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.