INEC YAWAFUNDA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WA SAIDIZI WA VITUO VYA KURA JIMBO LA PERAMIHO NKUMBI 17:07 0 Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele leo Februari 23, 2026 ametembelea mafunzo ya Was... Read more »
VIJANA CHINANGALI WAVUNJA KELELE ZA AJIRA KITAALAMU WAKIPIGILIA MSUMARI KUPITIA KILIMO BIASHARA NKUMBI 14:49 0 Safari ya kuelekea Dira ya Taifa ya Mwaka 2050 imepata msukumo mpya kufuatia utekelezaji wa Programu ya Jenga Kesho Iliyo bora (BBT), inayol... Read more »
POLISI YATOA ONYO KWA WASAMBAZAJI HABARI ZA UONGO MITANDAONI WANAWAFUATILIA NKUMBI 14:47 0 Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa onyo kali dhidi ya watu na vikundi vinavyojihusisha na usambazaji wa picha mjongeo (video) na taarif... Read more »
MIPANGO YA MAENDELEO YAFUNGUA MILANGO YA AJIRA: ZAIDI YA NAFASI 21,000 ZAZALISHWA SEKTA YA UJENZI NKUMBI 14:42 0 Utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2021/2022 hadi 2025/2026 umeonyesha kuwa n... Read more »
KATAMBI AONYA WANAOCHAFUA NCHI MITANDAONI, "AMANI YETU SI YA MCHEZO NKUMBI 14:40 0 Mbunge wa Shinyanga Mjini na Waziri, Patrobas Katambi, ametoa onyo kali kwa watu na makundi yanayotumika kuichafua taswira ya Tanzania kupit... Read more »
TANZANIA YAINGIA KWENYE ‘LIGI KUBWA’ YA NISHATI: ZIADA YA MEGAWATI 2,300 NI CHAPA KAZI KWA VIWANDA NA AJIRA KWA VIJANA NKUMBI 14:37 0 Uzalishaji wa nishati ya umeme nchini Tanzania umefikia hatua kubwa ya kimkakati baada ya taifa kufanikiwa kufikisha uwezo wa kuzalisha juml... Read more »
INEC YAWAPIGA MSASA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA PERAMIHO, SHIWINGA NKUMBI 19:09 0 Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza leo Februari 22, 2026 na washiriki wa ... Read more »
AMANI NDIO NGAO, MSHIKAMANO NI DARAJA LA MAENDELEO NKUMBI 17:05 0 KATIKA kile kinachoonekana kuwa ni muendelezo wa hamasa ya kulinda tunu za Taifa, wananchi kutoka maeneo mbalimbali nchini wameibuka na kuto... Read more »
HAKUNA MAENDELEO BILA UADILIFU NA VIPIMO SAHIHI NKUMBI 17:04 0 Maendeleo ya kweli ya taifa lolote yanategemea mifumo imara ya haki na uadilifu, hususan katika sekta ya biashara. Katika kuhakikisha falsaf... Read more »
STAMICO NDANI YA MAELEKEZO MAZITO KUOKOA MAISHA NKUMBI 17:00 0 Katika hatua kubwa ya kimkakati inayolenga kuchochea uchumi wa viwanda na kulinda ikolojia ya nchi, Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, ... Read more »
TUME YA JAJI CHANDE YAONGEZEWA SIKU 42 NKUMBI 16:58 0 KATIKA kile kinachoonekana ni azma ya Serikali kuhakikisha kuwa taarifa ya uchunguzi wa matukio ya uchaguzi inakuwa ya kina na shirikishi, ... Read more »
TATHMINI YA MOODY’S YAZIBA MIDOMO WAHUNI, TANZANIA INAPAA KIUCHUMI NKUMBI 16:55 0 Wakati 'wahuni' wachache wakihaha usiku na mchana kutafuta kila mbinu ya kuchafua taswira ya Tanzania na mwelekeo wa Serikali ya Awa... Read more »
MBUNGE SIGRADA ANAVYOVUNJA MIIKO YA SIASA KWA MAENDELEO YA UMMA NKUMBI 16:52 0 Katika hali inayoonesha kuwa siasa si uadui bali ni nyenzo ya kuwahudumia wananchi, Mbunge wa Viti Maalum (CHAUMMA) Mkoa wa Njombe, Mhe. S... Read more »
VIJANA WA SHINYANGA WATAKIWA KUSHIRIKI MAMBO YA KIUCHUMI NA SIO KUWA WATAZAMAJI; BILIONI 200 ZIMETENGWA KWA AJILI YAO NKUMBI 15:32 0 Neema Nkumbi, Shinyanga Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka, amewataka vijana wa Mkoa wa Shinyanga kuwa... Read more »
MAADILI YA KALE: NGUZO ILIYOSASAULIWA NA GEN Z KATIKA MBIO ZA MAENDELEO NKUMBI 10:04 0 KATIKA ulimwengu unaokwenda kasi mithili ya mwanga, ambapo teknolojia imetawala kila nyanja ya maisha, jamii imeaswa kutofanya makosa ya kuz... Read more »