DC MBONI AZIANZA RASMI KM 317.2 ZA MWENGE WA UHURU WILAYANI KAHAMA - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Tuesday 13 August 2024

DC MBONI AZIANZA RASMI KM 317.2 ZA MWENGE WA UHURU WILAYANI KAHAMA



Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita ameanza rasmi hapa kijiji cha Bulige Halmashauri ya Msalala kukimbiza Mwenge wa Uhuru kwa KM 317.2 ndani ya Wilaya ya Kahama ambapo Mwenge utakimbizwa Kilomita 317.2 kuifikia jumla ya ya miradi 24 yenye zaidi ya jumla ya Tzs. Bilioni 16.8 katika Halmashauri ya Msalala, Ushetu na Kahama Manispaa.









No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso