Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita ameanza rasmi hapa kijiji cha Bulige Halmashauri ya Msalala kukimbiza Mwenge wa Uhuru kwa KM 317.2 ndani ya Wilaya ya Kahama ambapo Mwenge utakimbizwa Kilomita 317.2 kuifikia jumla ya ya miradi 24 yenye zaidi ya jumla ya Tzs. Bilioni 16.8 katika Halmashauri ya Msalala, Ushetu na Kahama Manispaa.
Post Top Ad
Tuesday 13 August 2024
DC MBONI AZIANZA RASMI KM 317.2 ZA MWENGE WA UHURU WILAYANI KAHAMA
Tags
HABARI#
Share This
About (HUHESO Digital Blog
HABARI
Tags:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment