WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA BWALO LA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA LUGALO - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Monday 8 July 2024

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA BWALO LA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA LUGALO

Moja kati ya madawati yenye nyufa ambayo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aliagiza kuwa aliyeyatengeneza ayachukue kwa gharama zake na atengeneze mengine yenye viwago na kuyarejesha katika Shule ya Secondairi ya Wasichana Lugalo wilayani Kilolo. 




Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambana Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kushindwa kusimamia matumizi ya Fedha ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo.


Ashangazwa kutumika kwa fedha yote ya ujenzi wa Bwalo lakini mpaka sasa halijakamilika.


Bwalo hilo lilipangiwa sh. milioni 774 na wamekwishatumia sh. milioni 341 hadi kufikia hatua ya linta ambayo ni sawa na asilimia 40 ya ujenzi wake.


Aagiza asimamishwe kazi kupisha uchunguzi, yumo pia Mkurugenzi Mstaafu wa Halmashauri aliyestaafu mwezi Aprili mwaka huu, ambapo Mheshimiwa Majaliwa aagiza aitwe na ahojiwe.


Mheshimiwa Majaliwa yupo mkoani Iringa kwa ziara ya kikazi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso