CHAMA AMWAGA WINO JANGWANI - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Monday 1 July 2024

CHAMA AMWAGA WINO JANGWANI


 
Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa kiungo wa Kimataifa wa Zambia Clatous Chama.

Chama anajiunga na Yanga akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Simba.

Hili ni pigo kwa Simba kwani walikuwa wakipambana kumbakisha nyota huyo kikosini lakini wamekwama.

Unaweza kusema baada ya kuiota ndoto ya kuwa na Chama kwa muda mrefu hatimae Yanga wametimiza ndoto yao

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso