DKT.DUGANGE ATEMBELEA KAMBI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO HANANG’ - HUHESO DIGITAL BLOG

Breaking

Post Top Ad

Tuesday 12 December 2023

DKT.DUGANGE ATEMBELEA KAMBI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO HANANG’

Naibu waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI anayeshughulikia Afya Mhe. Dkt. Festo Dugange akiwa ameambatana na Mhe. Jenista Mhagama Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge na Uratibu na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga wametembelea shule ya Msingi Gendabi eneo ambalo ilipo kambi ya waathirika wa mafuriko yaliyotokea Hanang mkoa wa Manyara.



Katika kambi hiyo wameshuhudia zoezi la ugawaji wa misaada inayoendelea kutolewa huku wengine wakichukuliwa na ndugu na jamaa wakati serikali ikiendelea na taratibu za kusaidia waathirika hao.



goog_1905974007    


Chanzo: fullshangwe

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Pages

Huheso